Kumbuka kama wewe ni mpenzi wa nyimbo mpya za bongo au nyimbo za tanzania basi unaweza kupakua app moja tu na itakusaidia kupata nyimbo zote zina zotoka hata kabla hazijafika kwenye radio. App hiyo inapatikana kwa watumiaji wa simu za Android na unaweza kuipata kupitia link hapo chini, kitu cha muhimu jaribu app hiyo kisha niambie maoni yako hapo chini kama umekosa nyimbo yoyote ya Tanzania.
Nyubeat - Nyimbo Mpya Tanzania (Free, Google Play) →
Lakini kama umekosa nyimbo mpya kupitia App hiyo basi unaweza kuendelea na kwenye tovuti hii ambayo na uhakika itakusaidia ku download nyimbo yoyote mpya unayo ijua wewe kwa urahisi na haraka, kitu cha msingi unachotakiwa kujua ni jina la msanii au jina la nyimbo unayotaka ku download.
TEMBELEA TOVUTI HIYO HAPA
Jinsi ya Ku download Nyimbo Mpya
Hatua ya kwanza ingia kwenye tovuti hiyo, kisha andika jina la msanii au nyimbo unayotaka kudownload kupitia chumba cha kutafuta, baada ya hapo malizia kwa kubofya tafuta.
Baada ya hapo utaona matokeo ya nyimbo mpya mbalimbali za msanii ulio tafuta jina lake, unachotakiwa kufanya sasa ni kubofya kitufe chekundu cha download na moja kwa moja utapelekwa kwenye ukurasa wa ku download nyimbo moja kwa moja.
Baada ya hapo utaweza kuona sehemu ya kudownload nyimbo iliyopo chini ya video, unaweza kubofya hapo kisha moja kwa moja utaweza kuona nyimbo uayo hitaji ikidownload moja kwa moja kupitia kifaa chako.
Mpaka hapo utakuwa umeweza kudownload nyimbo yoyote mpya kupitia simu, au computer yako. Kumbuka unaweza kupakua nyimbo yoyote sio lazima nyimbo za bongo pia unaweza kupakua nyimbo za nje ya nchi kwa kuandika tu jina la msanii au jina la nyimbo yenyewe. Kama kuna mahali umekwama unaweza kuuliza kupitia sehemu ya maoni hapo chini.
1 Comments
Amazing
ReplyDelete